template_02

Marekani. Kampuni ya Google imesema ipo mbioni kuachana na matumizi ya nywila (password) katika ulinzi wa programu zake katika vifaa rununu ikiwamo kwenye mifumo yake huku ikiitaja njia hiyo kuwa ni ya kizamani na ngumu.

Kwa mujibu wa CNN imeripoti kuwa kampuni hiyo imesema badala ya kutumia nywila katika ulinzi, wateja wao watashauriwa kutumia alama za vidole na utambulisho wa sura,

Hayo yamesemwa jana Jumapili Oktoba 15, 2023 katika tovuti ya Google huku ikisema mfumo huo mpya hautakuwa na haja ya mtumiaji wao kukariri nywila zake.

Leave a Reply

Your email address will not be published.